Thursday, July 18, 2024

UTUKUFU WA MUNGU UNADHIHIRISHWAJE KUPITIA MAOMBI YA MACHOZI? Na Pastor Godlove Indiael


 

UTUKUFU WA MUNGU UNADHIHIRISHWAJE KUPITIA MAOMBI YA MACHOZI?

Pointi ya 1

·       Kwa Mambo Mungu anayoweza kupitisha katika mfumo wa Maisha yako ili ya Mguse Mungu kuachilia utukufu wake ndani Mwako.

Kuna changamoto mkristo anazipitia  kimwili na Kiroho,  lakini zimebeba  utukufu wa Mungu ,Hali ya ugonjwa wa Lazaro ulibeba utukufu wa Mungu.

 Je, wewe Hali unayopitia imebeba nini wewe?.

0 comments: