MAOMBI YA MACHOZI
YANA ACHILIWA ILI YABEBE NINI ?
Sehemu ya
1.Yabebe vitu vya utukufu wa Mungu ndani MWAKO (maishani).
Yohana 11:1-4, 17, 19, 33-35,41-43
1 Basi mtu
mmoja alikuwa hawezi, Lazaro wa Bethania, mwenyeji wa mji wa Mariamu na Martha,
dada yake.
2 Ndiye
Mariamu yule aliyempaka Bwana marhamu, akamfuta miguu kwa nywele zake, ambaye
Lazaro nduguye alikuwa hawezi.
3 Basi wale
maumbu wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana,
yeye umpendaye hawezi.
4 Naye Yesu
aliposikia, alisema, Ugonjwa huu si wa mauti, bali ni kwa ajili ya utukufu wa
Mungu, ili Mwana wa Mungu atukuzwe kwa huo.
17 Basi Yesu
alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.
19 na watu
wengi katika Wayahudi walikuwa wamekuja kwa Martha na Mariamu, ili kuwafariji
kwa habari ya ndugu yao.
33 Basi Yesu
alipomwona analia, na wale Wayahudi waliofuatana naye wanalia, aliugua rohoni,
akafadhaika roho yake,
34 akasema, Mmemweka wapi? Wakamwambia, Bwana,
njoo utazame.
35 Yesu
akalia machozi
41 Basi
wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru
kwa kuwa umenisikia.
42 Nami
nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu
wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.
43 Naye
akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.
Kuna vitu
vinaachiliwa ndani ya Maisha yako ili utukufu wa Mungu uonekane ndani MWAKO .
Huyu ndugu
Lazaro anaugua na kufa lakini kuugua kwake ni kwaajili ya utukufu wa Mungu .
0 comments: